Jumapili, 25 Januari 2015
KARIBU KATIKA KANISA LA BUTIMBA HEALING CENTRE!!!!!
RATIBA ZA IBADA ZETU NI KAMA IFUATAVYO
- Jumatatu wanakutana vijana ( 04:00 pm - 06:00 pm)
- jumanne wanakutana wamama ( 04:00 pm - 06:00 pm)
- Jumatano ni Ibada ya mafundisho ya NENO la Mungu tunakutana kanisa zima!!!! ( 04:00 pm - 06:00 pm)
- alhamic ni mazoezi ya kwaya ( 04:00 pm - 06:00 pm)
- Ijumaa ni ibada ya Maombi ya KUFUNGA masaa 12 watu wote tunakutana kanisani. ( 04:00 pm - 06:00 pm)
- jumamoc mazoezi ya uwimbaji na usafi wa kanisa!!!!
- (08:00am - 09:00am)-MAOMBI
- (09:00am - 10:00am)- SUNDAY SCHOOL
- (10:00am - 01:30am)- IBADA KUU
VIJANA WA C.A.G-BHC na mwenyekiti wao!!
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)